Malipo ya Fedha Taslimu Yapigwa Marufuku kwa Miamala Maalum: Unachopaswa Kujua Kuhusu Amri Mpya ya Serikali ya 2026

Malipo ya kielektroniki. Imechapishwa na LegalJamii Kuanzia tarehe 1 Julai 2026, Serikali ya Tanzania imeanza kutekeleza Amri ya Miamala ya Kielektroniki (Malipo ya Lazima kwa Njia za Kielektroniki kwa Miamala Iliyoainishwa), 2026, iliyotolewa na Waziri wa Fedha tarehe 30 Juni 2026 kwa mujibu wa kifungu cha 13(2) cha Sheria ya Miamala ya Kielektroniki. Amri hiiContinueContinue reading “Malipo ya Fedha Taslimu Yapigwa Marufuku kwa Miamala Maalum: Unachopaswa Kujua Kuhusu Amri Mpya ya Serikali ya 2026”