Na legaljamii Non citizens can’t inherit Land. Tuanze na Madokezo:-Wasio raia wamezuiwa kurithi ardhi nchini Tanzania. Umiliki wa ardhi kwa njia ya urithi sasa ni haki ya raia pekee. Mahakama imetumia tafsiri ya kimakusudi (purposive interpretation) ya sheria.Sheria ya Ardhi ambayo imepewa uzito dhidi ya sheria za mirathi Mnamo tarehe 22 Agosti 2025, Mahakama yaContinueContinue reading “WASIO RAIA WA TANZANIA HAWANA HAKI YA KUMILIKI AU KURITHI ARDHI.”
