Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Utangulizi Nafasi ya Makamu wa Rais ni mojawapo ya nafasi muhimu katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Makamu wa Rais ni msaidizi mkuu wa Rais katika mambo yote ya Jamhuri ya Muungano na hutekeleza pia majukumu anayokabidhiwa na Rais. Kwa hiyo, linapotokea jambo la MakamuContinue reading “UTARATIBU WA KIKATIBA BAADA YA MAKAMU WA RAIS KUJIUZULU.”
