SHERIA NA JAMII βš–

Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya JAMII na SHERIA na hii ni kutokana na ukweli kwamba hakuna jamii bila sheria. Sheria husaidia kuweka taratibu, kanuni, miiko, na miongozo ya namna ya kufanya mambo mbalimbali katika jamii husika. Karibu kila jambo Duniani kwa sasa linaongozwa na sheria hivyo ni wajibu was raia na wanajamii wote kufahamu sheria ili kujua namna ya kufanya shughuli zao bila kuvunja sheria za jamii na nchi kwa ujumla. Ikumbukwe KUTOJUA SHERIA SI KINGA YA KUONDOA KOSA.

hata hivyo ni changamoto iliyowazi kuhusu utaratibu wa kutunga Sheria na Ushirikishwaji wa wananchi katika kutunga Sheria hizo na kukuza ufahamu wa sheria.

@richardkalokola


Discover more from π‹π„π†π€π‹π‰π€πŒπˆπˆβš–οΈ

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Published by LEGALJAMIIβš–οΈ

Hello Everyone. I am Richard Kalokola a young Tanzanian Lawyer holding a Bachelor Degree of Laws (LLB) from St. Augustine University of Tanzania and I have attended the training at THE LAW SCHOOL OF TANZANIA. Being a Lawyer with such qualifications I am very much interested in Sharing the Legal comprehensive understanding and competence I have gained to the World. This Platform here is a home and indeed a large Sea of knowledge I therefore welcome you all to swim in for the revitalisation and advancement of the various Legal concepts into Simple plain Language.

Leave a Reply

Discover more from π‹π„π†π€π‹π‰π€πŒπˆπˆβš–οΈ

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading

Discover more from π‹π„π†π€π‹π‰π€πŒπˆπˆβš–οΈ

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading