Mahakama Yabatilisha Uamuzi wa Baraza la Kodi kwa Kukosa Kutoa Sababu za Kisheria.

1. Kukosa kutoa sababu hufanya uamuzi kuwa batili. 2. Baraza lazima lichambue na kuamua hoja za rufaa. 3. Kunukuu hoja za upande mmoja si hukumu. 4. Mahakama yatumia mamlaka ya mapitio kurekebisha dosari ya msingi,shauri larudishwa Barazani kwa uamuzi mpya. Historia ya Shauri. Mnamo tarehe 19 Januari 2026, Mahakama ya Rufaa ya Tanzania ilitoa uamuziContinueContinue reading “Mahakama Yabatilisha Uamuzi wa Baraza la Kodi kwa Kukosa Kutoa Sababu za Kisheria.”